JINA: Tumaini Urassa
UMRI WANGU: Miaka 25JINSIA : Mwanamke
NAISHI KATIKA WILAYA/MKOA: Arusha, Tanzania
EMAIL : tumainimurassa@gmail.com
MAELEZO: Mimi ni mwanamke wa Kitanzania, hodari, jasiri, mwenye upendo na adabu. Ninapenda watoto sana.
Pia ninapenda sanaa na ufundi, matukio, filamu, huduma za jamii na kutumia muda wangu na marafiki na familia.
Natafuta mtu mchapakazi hodari, mwenye heshima na anayejitegemea.
NAPENDELEA : Riwaya,Tamthilia, Ushairi, Filamu na Runinga, Muziki, Kompyuta na Mtandao, Michezo, Ucheshi, Mitindo, Ununuzi, Sherehe, Ufundi, Asili, Kupika, Uzazi, Utamaduni, Lugha, Elimu, Sayansi, Kusafiri, Soga, Barua pepe, Urafiki, Uhusiano, Utani wa Mapenzi
LUGHA NINAZO JUA: Kiswahili, Kingereza
NAHITAJI MWENYE: Miaka 30 hadi 55
JINSIA: Wanaume